• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Liwale District Council
Liwale District Council

Jamhuri ya Mungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Liwale

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Uhasibu
      • Miundo Mbinu
      • Afya
      • Usafishaji na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwimu
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ufugaji wa Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Agriculture
    • Mifugo
    • Vivutio vya kitalii
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za elimu
    • Huduma za maji
    • Huduma za Ugani
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Mipango na Fedha
      • Uchumi na Mazingira
      • Community Services
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Mheshimiwa Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu
    • Miongozo mbalimbali
  • KItuo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi na kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

Mkurungenzi Liwale Miradi Inarahisisha Upatikanaji wa Huduma kwa Wananchi

Imewekwa:: December 18th, 2023

 Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Liwale Ndugu Tina Sekambo akiwasilisha taarifa yake ya Halmashauri ya Wilaya ya Liwale amesma kuwa katika hawamu ya sita Halmashauri imepokea fedha kiasi cha shilingi 33, 535,771,764.67 kwa ajili ya miradi ya maendeleo katika sekta ya Afya, Kilimo, Mifugo, Elimu, na Uwezeshwaji kiuchumi.

Aidha Serikali imewasikia na kuwafikia wananchi Serikali ya awamu ya sita imeiwezesha Halmashauri ya wilaya ya Liwale kutekeleza miradi mikubwa ya maendeleo yenye tija kubwa kwa jamii ikiwa ni pamoja na.

Ujenzi wa ofisi mpya ya Halmashauri kwa gharama ya shilingi 3,000,000,000.00 za ruzuku Serikali Kuu.

Mradi wa ujenzi wa barabara ya lami kilomita 1.2 wenye jumla ya shilingi 886,659,200 kutoka serikali Kuu.

Ujenzi wa shule za sekondari 2 za Kata ya Kichonda na Mangirikiti na nyumba ya walimu shule ya sekondari ya Mangirikiti wenye jumla ya shilingi 1,135,552,827 za mradi wa SEQUIP.

Ujenzi wa shule mpya ya msingi katika kijiji cha Mbonde wenye gharama ya shilingi 331,600,000.00 kupitia fedha za BOOSTUendelezaji wa ujenzi wa hospitali mpya ya wilaya kwa fedha za Ruzuku ya Serikali Kuu kwa gharama ya shilingi 3,230,800,000 za Ruzuku Serikali Kuu.

Pia Halmashauri imeendelea kutekeleza miradi midogodogo katika sekta mbali mbali inayohusu ujenzi wa miundombinu muhimu ya kutolea hudumaza kijamii ikihusisha.

Ujenzi wa vyumba 67 vya madarasa kwa shule za msingi na sekondari, Ujenzi wa matundu 103 ya vyoo kwa shule za msingi na sekondari, Ujenzi wa bweni 1 wa watoto wenye mahitaji maalum kwa shule za msingi, Ujenzi wa zahanati 6 mpya, Ujenzi wa nyumba 4 za mtumishi katika zahanati mpya, Ujenzi wa vituo 4 vipya vya afya.

Hata hivyo Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Liwale Ndugu Tina Sekambo amemshukuru Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan kwa fedha ambazo ametoa na anendelea kutoa katika Halmashauri ya Wilaya ya Liwale kwani imesaidia kwa kiasi kikubwa upatikanaji wa huduma za kijamii na hivyo kiukweli wananchi wanafurahi sana.

Aidha Msemaji Mkuu wa Serikali amewataka Wakurugenzi wote kuhakikisha wanawatumia vizuri maafisa habari ambao wapo katika Halmashauri zao ili kuweza kutangaza kazi ambazo zimefanyika na pia wananchi wa maeneo hayo wanawajibu wa kujua serikali yao inafanya nini kwenye maeneo yao hivyo tumsaidie Mheshimiwa Rais kuhakisha kazi zinazofanywa na Serikali zinatangazwa.


Picha mbalimbali katika Mkutano na wahandishi wa habari na Msemaji Mkuu wa Serikali wakati  Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Liwale Ndugu Tina Sekambo akiwasilisha taarifa ya kazi za Serikali ambazo zimefanyika katika Halmashauri ya Wilaya ya Liwale.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE MAFUNZO YA WASIMAMIZI NA MAKARANI WA UCHAGUZI MKUU OKTOBA 2025 JIMBO LA LIWALE October 22, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA WASIMAMIZI NA MAKARANI WA UCHAGUZI MKUU OKTOBA 2025 JIMBO LA LIWALE October 15, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI YA MWENYEKITI WA BODI YA AJIRA YA HALMASHAURI YA WILAYA YA LIWALE January 03, 2026
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU September 12, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • DC MLINGA AWATAKA MADIWANI KUTANGULIZA MASILAHI YA WANANCHI

    December 04, 2025
  • ABDALLAH CHANDE ACHAGULIWA KUWA MAKAMU MWENYEKITI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA LIWALE

    December 04, 2025
  • MOHAMED MTESA ACHAGULIWA TENA KUWA MWENYEKITI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA LIWALE

    December 04, 2025
  • DC MLINGA AKAGUA VITALU VYA UCHENJUAJI WA MADINI YA DHAHABU LILOMBE

    December 02, 2025
  • Angalia Zote

Video

Video nyingine

Viunganishi vya Haraka

  • OR - Tamisemi
  • Kupata Hati ya Mshahara (Salary Slip) kwa Watumishi wa Umma
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Utabiri wa Hali ya Hewa
  • Taarifa za huduma ya elimu
  • Taarifa za huduma ya afya

Tovuti Linganifu

  • Lindi RS
  • Lindi Manispaa
  • Nachingwea
  • Ruangwa
  • Mtama
  • Kilwa

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Dissertation-Writingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Along Nachingwea Road opposite DDD Quarters

    Sanduku la Posta: P.O. BOX 23 LIWALE

    Simu ya Mezani: 023 2937043

    Mawasiliano ya mkononi:

    Baruapepe: ded@liwaledc.go.tz

Anuani Nyingine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Hakimiliki 2023 © Halmashauri ya Wilaya ya Liwale. Haki zote zimehifadhiwa.

  • Situs Toto
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Togel
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • axl777
  • Situs Toto
  • YAMITOTO
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • DORA77
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • KOI200
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Toto Slot
  • DORA77
  • Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • AXL777
  • AXL777
  • DORA77
  • DORA77
  • AXL777
  • YAMITOTO
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • toto slot
  • slot gacor
  • ufabet
  • ufabet
  • ufabet
  • koi200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • KOI200
  • Toto Slot Gacor
  • AERO88 Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98
  • yamitoto
  • dora77
  • koi200
  • aero88
  • yamitoto
  • axl777
  • dora77
  • dora77
  • aero88
  • aero88
  • dora77
  • dora77
  • slot gacor
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • aero88
  • dora77
  • yamitoto
  • dora77
  • axl777
  • aero88
  • aero88
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • slot777
  • yamitoto
  • yamitoto
  • axl777
  • AXL777
  • yamitoto
  • DORA77