• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Liwale District Council
Liwale District Council

Jamhuri ya Mungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Liwale

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Uhasibu
      • Miundo Mbinu
      • Afya
      • Usafishaji na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwimu
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ufugaji wa Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Agriculture
    • Mifugo
    • Vivutio vya kitalii
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za elimu
    • Huduma za maji
    • Huduma za Ugani
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Mipango na Fedha
      • Uchumi na Mazingira
      • Community Services
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Mheshimiwa Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu
    • Miongozo mbalimbali
  • KItuo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi na kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

Mh. Mlinga Akutana na Wazazi pamoja na Wanafunzi Watoro

Imewekwa:: September 4th, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Liwale, Mhe. Goodluck Mlinga, amekutana na wazazi pamoja na wanafunzi 37 wa shule ya sekondari Hangai, Kata ya Ngongowele katika juhudi za kuhamasisha elimu miongoni mwa watoto pamoja na ushirikiano kati ya wazazi na viongozi ili kuhakikisha watoto wanapata elimu stahiki na kuacha utoro.

Mhe. Mlinga amesisitiza umuhimu wa elimu kwa watoto, akisema, "Chini ya miaka 18, mtoto anapaswa kwenda shule kupata elimu." Ameonya kuhusu athari za kutohudhuria shuleni, akieleza kuwa watoto wanaokosa masomo wanakumbana na hatari ya kukosa fursa za maisha bora.

Kwa upande mwingine, Mkuu wa Wilaya ametoa wito kwa wazazi kuandika barua ya kuahidi kusimamia watoto wao wahudhurie shule amesema ushirikiano wa wazazi na viongozi ni muhimu katika kuhakikisha watoto wanapata elimu, kwani elimu ndiyo ufunguo wa maendeleo ya kiuchumi na kijamii.

Katika mazungumzo hayo Mhe. Mlinga amesisitiza wajibu wa wazazi katika kuwalazimisha watoto wao kusoma. "Tujitahidi kuwalazimisha watoto wetu kuhusu umuhimu wa elimu ili kuongeza idadi ya wanafunzi walioelimika," amesema.

 Aidha Mhe. Mlinga ameahidi kuwa hatua kali za kisheria zitachukuliwa kwa wazazi au walezi watakaoshindwa kutimiza makubaliano hayo, Ameeleza kuwa ni muhimu kwa jamii kushirikiana ili kuhakikisha watoto wanapata haki yao ya misingi ya elimu.

pia Mkuu wa Wilaya ametoa rai kuwa ni jukumu la kila mmoja kuhakikisha watoto wanapata elimu. "Sote tumepewa jukumu la kuwasaidia watoto wetu kufikia malengo yao ya kielimu,” hivyo tuna wajibu wa kusimamia watoto wetu kuhakikisha wanapata elimu na kuthibiti utoro mashuleni.





Mkuu wa Wilaya ya Liwale katika matukio ya wazazi na wanafunzi ambao ni watoro mashuleni.

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO AWAMU YA PILI KWA MWAKA WA FEDHA 2024/2025 February 26, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MKATABA MSF May 07, 2025
  • TANGAZO LA KUANZA KWA MFUMO MPYA WA TAUSI KWA AJILI YA UTOAJI HUDUMA YA MALIPO MBALIMBALI YA SERIKALI KWA NJIA YA MTANDAO February 20, 2023
  • TANGAZO LA MNADA WA MAGARI NA PIKIPIKI October 09, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • WAANDIKISHAJI WASAIDIZI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI (BVR KIT) JIMBO LA LIWALE WAPATIWA MAFUNZO

    May 14, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA LIWALE YAPOKEA TUZO YA GLASS YA ELIMU KIMKOA KWA KUSHIKA NAFASI YA KWANZA KWA MWAKA 2024

    May 02, 2025
  • UFUNGWAJI YA MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA.

    November 01, 2024
  • MKUTANO WA KAWAIDA WA BARAZA LA HALMASHAURI

    October 30, 2024
  • Angalia Zote

Video

Video nyingine

Viunganishi vya Haraka

  • www.tamisemi.go.tz
  • Kupata Hati ya Mshahara (Salary Slip) kwa Watumishi wa Umma
  • Bodi ya Ajira
  • Utabiri wa Hali ya Hewa
  • Taarifa za huduma ya elimu
  • Taarifa za huduma ya afya

Tovuti Linganifu

  • Wizara ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Linndi RS
  • Ruangwa
  • Nachingwea
  • Lindi Manispaa

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Dissertation-Writingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Along Nachingwea Road opposite DDD Quarters

    Sanduku la Posta: P.O. BOX 23 LIWALE

    Simu ya Mezani: 023 2937043

    Mawasiliano ya mkononi:

    Baruapepe: ded@liwaledc.go.tz

Anuani Nyingine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Hakimiliki 2023 © Halmashauri ya Wilaya ya Liwale. Haki zote zimehifadhiwa.