• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Liwale District Council
Liwale District Council

Jamhuri ya Mungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Liwale

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Uhasibu
      • Miundo Mbinu
      • Afya
      • Usafishaji na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwimu
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ufugaji wa Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Agriculture
    • Mifugo
    • Vivutio vya kitalii
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za elimu
    • Huduma za maji
    • Huduma za Ugani
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Mipango na Fedha
      • Uchumi na Mazingira
      • Community Services
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Mheshimiwa Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu
    • Miongozo mbalimbali
  • KItuo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi na kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

DC Goodluck Mlinga atoa Mifuko 50 ya Saruji

Imewekwa:: October 18th, 2023

Mkuu wa Wilaya ya Liwale Mheshimiwa Goodluck Mlinga amehidi kuchangia mifuko 50 ya saruji kwajili ya ujenzi wa zahanati katika Kijiji cha makinda ametoa ahadi hiyo katika mkutano wa hadhara katika ziara Kata ya Mangirikiti.

Mheshimiwa Mlinga amefanya ziara ya Kata ya Mangirikiti kwenye vijiji vya Makinda, Kipule, na Mkonganage ikiwa ni kusikiliza Kero za wananchi na kuzitolea majibu Mheshimiwa Mlinga amewataka wananchi wa Kijiji cha Makinda kuanza kukusanya nguvu kutoka kwa wananchi na tozo za makato ya mazao ili kuanzisha boma na baadae Serikali italeta fedha ili Kijiji kiweze kupata zahanati na kuhudumia watu.

Akijibu kero za wananchi wa Makinda Mheshimiwa Mlinga amesema kuwa kero ya wanyama haribifu tembo ni kubwa kwa Wilaya ya Liwale hivyo jitihada zinafanyika katika kuhakikisha tunawatoa tembo hawa Serikali ya Tanzania kwa kushirikiana na Serikali ya Ujerumani imeleta mradi wa GIZ ambapo vijan 132 watachukuliwa kutoka ndani ya Wilaya yetu na kupewa mafunzo na vifaa jinsi ya kupambana wanyama hao.


Pia Serikali imeendelea na mikakati ya kitaifa kuhakikisha kuwa wanyama haribifu Kama hawa tembo wanaweza kudhibitiwa na wasilete madhara kwa binadamu na hata kuharibu mazao na kuhatarisha usalama wa watu ndio maana Serikali imejenga vituo ikiwemo ngumbu na pia Askari wa wanyamapori Tawa na a fisa wanyamapori wamekuwa wakipambana ili wasilete madhara.

Aidha Mheshimiwa Mlinga amesema kuhusu wafugaji Halmashauri imepitisha Sheria ambayo inadhibiti mifugo hivyo wafugaji wote ambao wapo maeneo ambayo siyo ya wafugaji waondoke Mara moja na pia amezitaka Serikali za vijiji kuhakikisha zina kuwa na jukumu la kulinda raia na usalama wa vijiji kwani vijiji vyetu vina kamati za ulinzi hivyo tuzitumie katika kujilinda na mifugo. Hata hivyo amewaonya baadhi ya viongozi wa vijiji kuchukua rushwa kutoka kwa wafugaji kwani vitendo hivyo vinachangia maeneo yetu kuharibiwa na mifugo hivyo tuwe wadilifu.

Katika kero nyingine ikiwemo miondombinu ya elimu Mheshimiwa Mlinga amesema kuwa Serikali bado inaendelea kutoa fedha kwajili ya miradi ya maendeleo ikiwemo elimu hivyo kwa madarasa amabayo ni chakavu, na ujenzi wa nyumba za walimu utakuja kwa awamu na pia amezitaka Serikali za vijiji kutumia mapato ya ndani kwa kuanza miradi Kama hii na Serikali kuu itaweka nguvu.

Kwa upande wa umeme Mheshimiwa Mlinga amesema kuwa Serikali imetoa billion 34 kwa aajili ya kusambaza umeme katika vijiji vyote vya Wilaya ya Liwale vijiji 76 hivyo vyote vitafikiwa na umeme.

Na pia kuhusu barabara na maji serikali inaendelea kufanyia kazi kwani wataalamu mbalimbali wapo kazini wakifanya tathimini na watakapo tuletea majibu basi utekelezaji utaanza maara moja

Hivyo kikubwa nikuendele kutoa ushirikiano kwa Serikali na yote ambayo yamesemwa basi yatafanyiwa kazi kwa haraka ili wananchi wetu wapate maendeleo kama kusudi la Serikali.


Baadhi ya wananchi wa Kata ya Mangirikiti wakifatilia na kusikiliza majibu ya kero zao wakati Mkuu wa Wilaya Mheshimiwa Goodluck Mlinga akijibu.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE MAFUNZO YA WASIMAMIZI NA MAKARANI WA UCHAGUZI MKUU OKTOBA 2025 JIMBO LA LIWALE October 22, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA WASIMAMIZI NA MAKARANI WA UCHAGUZI MKUU OKTOBA 2025 JIMBO LA LIWALE October 15, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI YA MWENYEKITI WA BODI YA AJIRA YA HALMASHAURI YA WILAYA YA LIWALE January 03, 2026
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU September 12, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • DC MLINGA AWATAKA MADIWANI KUTANGULIZA MASILAHI YA WANANCHI

    December 04, 2025
  • ABDALLAH CHANDE ACHAGULIWA KUWA MAKAMU MWENYEKITI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA LIWALE

    December 04, 2025
  • MOHAMED MTESA ACHAGULIWA TENA KUWA MWENYEKITI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA LIWALE

    December 04, 2025
  • DC MLINGA AKAGUA VITALU VYA UCHENJUAJI WA MADINI YA DHAHABU LILOMBE

    December 02, 2025
  • Angalia Zote

Video

Video nyingine

Viunganishi vya Haraka

  • OR - Tamisemi
  • Kupata Hati ya Mshahara (Salary Slip) kwa Watumishi wa Umma
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Utabiri wa Hali ya Hewa
  • Taarifa za huduma ya elimu
  • Taarifa za huduma ya afya

Tovuti Linganifu

  • Lindi RS
  • Lindi Manispaa
  • Nachingwea
  • Ruangwa
  • Mtama
  • Kilwa

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Dissertation-Writingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Along Nachingwea Road opposite DDD Quarters

    Sanduku la Posta: P.O. BOX 23 LIWALE

    Simu ya Mezani: 023 2937043

    Mawasiliano ya mkononi:

    Baruapepe: ded@liwaledc.go.tz

Anuani Nyingine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Hakimiliki 2023 © Halmashauri ya Wilaya ya Liwale. Haki zote zimehifadhiwa.

  • Situs Toto
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Togel
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • axl777
  • Situs Toto
  • YAMITOTO
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • DORA77
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • KOI200
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Toto Slot
  • DORA77
  • Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • AXL777
  • AXL777
  • DORA77
  • DORA77
  • AXL777
  • YAMITOTO
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • toto slot
  • slot gacor
  • ufabet
  • ufabet
  • ufabet
  • koi200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • KOI200
  • Toto Slot Gacor
  • AERO88 Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98
  • yamitoto
  • dora77
  • koi200
  • aero88
  • yamitoto
  • axl777
  • dora77
  • dora77
  • aero88
  • aero88
  • dora77
  • dora77
  • slot gacor
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • aero88
  • dora77
  • yamitoto
  • dora77
  • axl777
  • aero88
  • aero88
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • slot777
  • yamitoto
  • yamitoto
  • axl777
  • AXL777
  • yamitoto
  • DORA77