• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Liwale District Council
Liwale District Council

Jamhuri ya Mungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Liwale

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Uhasibu
      • Miundo Mbinu
      • Afya
      • Usafishaji na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwimu
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ufugaji wa Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Agriculture
    • Mifugo
    • Vivutio vya kitalii
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za elimu
    • Huduma za maji
    • Huduma za Ugani
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Mipango na Fedha
      • Uchumi na Mazingira
      • Community Services
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Mheshimiwa Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu
    • Miongozo mbalimbali
  • KItuo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi na kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

DC Goodluck Mlinga Afungua Mafunzo ya Jeshi la Akiba

Imewekwa:: August 12th, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Liwale Mheshimiwa Goodluck Mlinga amezindua mafunzo ya Jeshi la Akiba katika Kata ya Kibutuka Kijiji cha Kibutuka ambapo jumla ya wanafunzi 60 wamejiandikisha katika mafunzo hayo ambayo yanatarijiwa kuchukuwa wiki 18 mpaka kuhitimishwa kwake.

Katika ufunguzi huo Mheshimiwa Mlinga amesema kuwa atahakikisha wanafunzi wote watapata sare zote ambazo zimeombwa na mkufunzi wa mafunzo hayo Meja Gamwaka Masinde napia aimeitaka Halmashauri kuhakikisha wanachangia gharama ambazo zimetajwa ili kuwapa hari vijana kushiriki mafunzo hayo.

Hata hivyo Mheshimiwa Mlinga amevitaka Vijiji vyote ambavyo vina mapato washiriki wake wanaoshiriki mafunzo hayo kuhakikisha wanachangia gharama za sare pamoja na mahitaji mengine ili kuhakikisha mafunzo haya yanaendeshwa kwa ustadi mkubwa na kuondoa changamoto ambazo zinaweza kujitokeza.

Aidha Mheshimiwa Mlinga ametoa rai kwa wanafunzi ambao wanashiriki mafunzo hayo ya jeshi la akiba amewataka washirikiane na viongozi wa Vijiji na Kata kuhakikisha wanashirikiana na wakufunzi wa mafunzo hayo kuwasaidia vijana hao ili waweze kuhitimu mafunzo hayo ambayo yanaendelea katika Kijiji cha Kibutuka.

Kwa upande mwengine Diwani wa Kata ya Kibutuka Mheshimiwa Faraji Mnyihira amesema kuwa “anafuraha kubwa kwa mafunzo hayo kufanyika katika Kata ya Kibutuka kwani yatasidia vijana kupata mafunzo na kushiriki katika oparasheni mbalimbali ikiwemo kuondoa mifugo na pia kulinda amani katika vijiji mbalimbali na kushiriki katika shughuli za uchaguzi katika Wilaya ya Liwale hivyo amehaidi kutoa ushirikiano wakutosha ili kuhakikisha mafunzo hayo yanafanikiwa”.






Picha mbalimbali katika ufunguzi wa mafunzo wa Jeshi la Akiba katika kijiji cha Kibutuka  Kata ya Kibutuka

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO AWAMU YA PILI KWA MWAKA WA FEDHA 2024/2025 February 26, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MKATABA MSF May 07, 2025
  • TANGAZO LA KUANZA KWA MFUMO MPYA WA TAUSI KWA AJILI YA UTOAJI HUDUMA YA MALIPO MBALIMBALI YA SERIKALI KWA NJIA YA MTANDAO February 20, 2023
  • TANGAZO LA MNADA WA MAGARI NA PIKIPIKI October 09, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • WAANDIKISHAJI WASAIDIZI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI (BVR KIT) JIMBO LA LIWALE WAPATIWA MAFUNZO

    May 14, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA LIWALE YAPOKEA TUZO YA GLASS YA ELIMU KIMKOA KWA KUSHIKA NAFASI YA KWANZA KWA MWAKA 2024

    May 02, 2025
  • UFUNGWAJI YA MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA.

    November 01, 2024
  • MKUTANO WA KAWAIDA WA BARAZA LA HALMASHAURI

    October 30, 2024
  • Angalia Zote

Video

Video nyingine

Viunganishi vya Haraka

  • www.tamisemi.go.tz
  • Kupata Hati ya Mshahara (Salary Slip) kwa Watumishi wa Umma
  • Bodi ya Ajira
  • Utabiri wa Hali ya Hewa
  • Taarifa za huduma ya elimu
  • Taarifa za huduma ya afya

Tovuti Linganifu

  • Wizara ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Linndi RS
  • Ruangwa
  • Nachingwea
  • Lindi Manispaa

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Dissertation-Writingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Along Nachingwea Road opposite DDD Quarters

    Sanduku la Posta: P.O. BOX 23 LIWALE

    Simu ya Mezani: 023 2937043

    Mawasiliano ya mkononi:

    Baruapepe: ded@liwaledc.go.tz

Anuani Nyingine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Hakimiliki 2023 © Halmashauri ya Wilaya ya Liwale. Haki zote zimehifadhiwa.