• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Liwale District Council
Liwale District Council

Jamhuri ya Mungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Liwale

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Utawala na Rasilmali Watu
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ufugaji wa Nyuki
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Agriculture
    • Mifugo
    • Vivutio vya kitalii
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za elimu
    • Huduma za maji
    • Huduma za Ugani
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Mipango na Fedha
      • Uchumi na Mazingira
      • Community Services
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Mheshimiwa Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu
    • Miongozo mbalimbali
  • KItuo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi na kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

MKUU WA WILAYA LIWALE AWATUNUKU UONGOZI WA SHULE YA SEKONDARI LIWALE KWA UFAULU WA JUU KIDATO CHA SITA KWA MWAKA 2019 WAKATI WA KIKAO CHA DCC.

Imewekwa:: July 18th, 2019

Mkuu wa Wilaya ya Liwale Mhe. Sarah Chiwamba aipongoza bodi, walimu na wanafunzi wa shule ya sekondari Liwale kwa ushirikiano na utendaji uliopelekea ufaulu wa juu katika matokeo ya kidato cha sita kwa mwaka 2019.Aidha, katika kuwapongeza aliwaita walimu wote wa shule ya sekondari Liwale na kuitunuku shule cheti cha pongezi ikiwa ni ishara ya kuheshimu mchango wao katika maendeleo ya Elimu.

Mhe. Sarah Chiwamba alifanya haya wakati wa kikao cha kamati ya ushauri ya wilaya (DCC) kilichofanyika katika ukumbi wa shule ya sekondari Liwale tarehe 17 Julai, 2019 ambacho kilihudhuriwa na Mhe. (Mb) Zuberi Kuchauka, Waheshimiwa Madiwani, Wenyeviti wa vyama vya siasa, Wakuu wa Idara na Vitengo, viongozi wa dini na asasi za kiraia.

Awali, Mhe Mkuu wa wilaya na Mwenyekiti wa kikao alipokea taarifa ya utendaji kazi wa Halmashauri na Taasisi za Umma kwa kipindi cha mwaka Julai 2018 hadi Juni 2019. Masuala yaliojadiliwa ni pamoja na elimu, afya, kilimo, mifugo,  umeme, maji, miundombinu ya barabara, usalama wa raia na uhifadhi wa wanyama pori.

Matangazo

  • NECTA YATANGAZA MATOKEO YA KIDATO CHA SITA July 11, 2019
  • Sikukuu ya Nanenane 2019 Ngongo Lindi July 03, 2019
  • Mwenge wa Uhuru July 01, 2019
  • Ratiba ya usafi siku ya tarehe 27/07/2019 July 03, 2019
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • WAKUU NA MAKAMU WAKUU WA SHULE ZA SEKONDARI WILAYANI LIWALE WANEEMEKA NA WARSA YA UONGOZI, UTAWALA NA UENDESHAJI WA SHULE NA TAASISI

    July 27, 2019
  • MKUU WA WILAYA LIWALE AWATUNUKU UONGOZI WA SHULE YA SEKONDARI LIWALE KWA UFAULU WA JUU KIDATO CHA SITA KWA MWAKA 2019 WAKATI WA KIKAO CHA DCC.

    July 18, 2019
  • MKURUGENZI MTENDAJI (W) AFURAHISHWA NA MAENDELEO YA MRADI WA KITALU NYUMBA

    July 06, 2019
  • UMISETA LIWALE

    June 25, 2019
  • Angalia Zote

Video

Video nyingine

Viunganishi vya Haraka

  • Kupata maelezo ya kujiunga (joining instructions) kidato cha tano 2018 Tanzania Bara
  • Orodha ya waliochaguliwa kujiunga kidato cha Tano 2018
  • Kupata maelezo ya kujiunga (joining instructions) za Vyuo vya Elimu 2018
  • Kufanya UTHIBITISHO kwa waliochaguliwa kujiunga na Vyuo vya Ualimu 2018
  • Kupata Hati ya Mshahara (Salary Slip) kwa Watumishi wa Umma
  • Bodi ya Ajira
  • Utabiri wa Hali ya Hewa
  • Taarifa za huduma ya elimu
  • Taarifa za huduma ya maji

Tovuti Linganifu

  • Wizara ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Ajira
  • LINDI RS
  • Ruangwa
  • Nachingwea
  • Lindi Manispaa

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Dissertation-Writingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Along Nachingwea Road opposite DDD Quarters

    Sanduku la Posta: P.O. Box 23 Liwale

    Simu ya Mezani: +255 (0) 737 187 605

    Mawasiliano ya mkononi:

    Baruapepe: ded@liwaledc.go.tz

Anuani Nyingine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Hakimiliki 2018 © Halmashauri ya Wilaya ya Liwale. Haki zote zimehifadhiwa.